Sunday, September 27

TAZAMA MAKABILA NA PICHA ZA KUPENDEZA ZA MAKABILI MBALI MBALI Y AKITANZANIAWA

WA MACHINGA

WA MACHINGA

MAKONDE

MASAI

MASAI

MASAI

MASAI


MASAI

MATENGO

WAMERU

WACHAGA MBEGE

WACHAGA NYUMBA

MCHAGA NA SIFA YAKE NYINGINE

WADIGO

WAFIPA

WAGOGO

WAGOROWA

WAGWENO

WAHA

WAHADZABE

WAHADZABE

WAHADZABE

WAANGAZA

WAANGAZA

WAHAYA JUKWAANI KINGOMA NGOMA

WAHAYA KATIKA UBOR AWAO

WAHAYA NYUMBA YAO{NYARUJU}

SENENE WAHAYA

WAHAYA SENENE

WAHAYA NYUMBA YA ASILI

WAHEHE

WAHEHE

WAHEHE

WAHEHE

WAHEHE


WAIKIZU

WAJITA

WAKABWA

WAKAGURU

WAKAGURU

WAKAGURU

WAKAGURU

WAKAGURU

WAKAGURU

WAKAGURU

WAKAGURU

WAKAHE

WALUGULU

VIJANA WA KILUGULU WAKITOKA MAWINDONI

WALUO

WATOTO WA KILUO

WALUO

WALUO

WALUO

WAMAKONDE

WAMAKONDE

MAVAZI YA WAMBULU

WAMBULU WAKICHEZA

WAMBULU

NYUMBA YA WANYISANZU

WANYISANZU

HAYA HAPA MAKABILI YENYEWE

  • Waalagwa (pia wanaitwa Wasi)
  • Waakiek
  • Waarusha
  • Waassa
  • Wabarabaig (pia wanaitwa Wamang'ati)
  • Wabembe
  • Wabena
  • Wabende
  • Wabondei
  • Wabungu (au Wawungu)
  • Waburunge
  • Wachagga
  • Wadatoga
  • Wadhaiso
  • Wadigo
  • Wadoe
  • Wafipa
  • WagogoWagorowa (pia wanaitwa Wafiome)WagwenoWahaWahadzabe (pia wanaitwa Wahadza na WatindigaWahangazaWahayaWaheheWaikizu
  • Waikoma
  • Wairaqw (pia wanaitwa Wambulu)
  • Waisanzu (pia wanajulikana kama WANYISANZU)
  • Wajiji
  • Wajita
  • WakabwaWakaguruWakahe
  • Wakami
  • Wakara (pia wanaitwa Waregi)
  • Wakerewe
  • Wakimbu
  • Wakinga
  • Wakisankasa
  • Wakisi
  • Wakonongo
  • Wakuria
  • Wakutu
  • Wakw'adza
  • Wakwavi
  • Wakwaya
  • Wakwere (pia wanaitwa Wanghwele)
  • Wakwifa
  • Walambya
  • Waluguru
    • WaluoWamaasaiWamachinga
  • Wamagoma
  • Wamakonde
  • Wamakua (au Wamakhuwa)
  • Wamakwe (pia wanaitwa Wamaraba)
  • Wamalila
  • Wamambwe
  • Wamanda
  • Wamatengo
    1. Wamatumbi
    2. Wamaviha
    3. Wambugwe
    4. Wambunga
    5. Wamosiro
    6. Wampoto
    7. Wamwanga
    8. Wamwera
    9. Wandali
    10. Wandamba
    11. Wandendeule
    12. Wandengereko
    13. Wandonde
    14. Wangasa
    15. Wangindo
    16. Wangoni
    17. Wangulu
    18. Wangurimi (au Wangoreme)
    19. Wanilamba (au Wanyiramba)
    20. Wanindi
    21. Wanyakyusa
    22. Wanyambo
    23. Wanyamwanga
    24. Wanyamwezi
    25. Wanyanyembe
    26. Wanyaturu (pia wanaitwa Warimi)
    27. Wanyiha
    28. Wapangwa
    29. Wapare (pia wanaitwa Wasu)
    30. Wapimbwe
    31. Wapogolo
    32. Warangi (au Walangi)
    33. Warufiji
    34. Warungi
    35. Warungu (au Walungu)
    36. Warungwa
    37. Warwa
    38. Wasafwa
    39. Wasagara
    40. Wasandawe
    41. Wasangu (Tanzania)
    42. Wasegeju
    43. Washambaa
    44. Washubi
    45. Wasizaki
    46. Wasuba
    47. Wasukuma
    48. Wasumbwa
    49. Waswahili
    50. Watemi (pia wanaitwa Wasonjo)
    51. Watongwe
    52. Watumbuka
    53. Wavidunda
    54. Wavinza
    55. Wawanda
    56. Wawanji
    57. Waware (inaaminika lugha yao imekufa)
    58. Wayao
    59. Wazanaki
    60. Wazaramo
    61. Wazigula
    62. Wazinza
    63. Wazyoba 
    hii ndio orodha ya makabila ambayo yanapatikana nchini TANZANIA japo baadhi ya makabila hayo yapo kama vikundi vidogo vidogo na pengine mengine yamekufa kabisa kutokana na muingiliano wa makabila mfano Dar-es-salaam wenyeji wake haswa ni wazaramo ila kutokana na muingiliano wa makabila wazalamo wanaelekea kuisha kwa kupoteza asili yao.
    licha ya wazalamo tu TANZANIA yote kwa ujumla inazidi kupoteza asili yake kwani ukitoa wamasai siku hizi hakuna tena alama za kuitambulisha kabila fulani kama nyumba za asili vyakula vya asili hata lugha pia inazidi kuasiliwa na lugha za kigeni hasa KIINGEREZA....pia makabila hayo mengine yanaelekea kufanana fanana kutokana na ukaribu uliopo wa makabila hayo

    No comments: