Sunday, September 27

UKIACHANA NA MARLOW WA TANZANIA,HAWA NI BAADHI YA MASTAA WALIOKAA MUDA MREFU KATIKA MAHUSIANO.


Watu wengi huamini watu wengi maarufu hawawezi kukaa muda mrefu katika uhusiano wao wa kimapenzi kutokana na umaarufu walionao na kuchangia mahusiano yao kuvunjika.


Pamoja na wengi kushindwa kuvumiliana na kujikuta wakiachana lakini wapo hawa mastaa ambao mpaka sasa bado wameendelea kubaki ndani ya ndoa zao kitu ambacho wengi hawakukitarajia.

Hawa ni miongoni mwa mastaa ambao licha ya kuzungumziwa sana na vyombo vya habari lakini mahusiano yao yameendelea kuimarika.
juuu
Kim na Kanye West

pink
Will na Jada Pinkett Smith

bil
Bill na Hillary Clinton

love
Jay-Z na Beyonce

pt
Brad Pitt na Angelina Jolie


vic
David And Victoria Beckham



douglas
Michael Douglas And Catherine Zeta

No comments: