Watu wengi huamini watu wengi maarufu hawawezi kukaa muda mrefu
katika uhusiano wao wa kimapenzi kutokana na umaarufu walionao na
kuchangia mahusiano yao kuvunjika.
Pamoja na wengi kushindwa kuvumiliana na kujikuta wakiachana lakini
wapo hawa mastaa ambao mpaka sasa bado wameendelea kubaki ndani ya ndoa
zao kitu ambacho wengi hawakukitarajia.
Hawa ni miongoni mwa mastaa ambao licha ya kuzungumziwa sana na vyombo vya habari lakini mahusiano yao yameendelea kuimarika.

Kim na Kanye West

Will na Jada Pinkett Smith

Bill na Hillary Clinton

Jay-Z na Beyonce

Brad Pitt na Angelina Jolie

David And Victoria Beckham

Michael Douglas And Catherine Zeta
No comments:
Post a Comment