Sunday, September 27

UKIACHANA NA MARLOW WA TANZANIA,HAWA NI BAADHI YA MASTAA WALIOKAA MUDA MREFU KATIKA MAHUSIANO.


Watu wengi huamini watu wengi maarufu hawawezi kukaa muda mrefu katika uhusiano wao wa kimapenzi kutokana na umaarufu walionao na kuchangia mahusiano yao kuvunjika.

MARINA BAY: UWANJA WA MPIRA PEKEE ULIOJENGWA JUU YA MAJI? MAJUKWAA JE!! PICHAZ HAPA...




Kama hukuwahi kubahatika kutembelea Singapore basi Marina Bay ni moja kati ya sehemu ambazo unapaswa kutembelea kama utafanikiwa kufika SingaporeMarina Bay ni uwanja wa mpira wa miguu ambao unaelea kwenye maji, yaani sehemu ya kuchezea inaelea ila majukwaa yapo nchi kavu.

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO SEPT 27.2015, KUBWA NI SIASA ZA CCM NA UKAWA,USHINDI WA YANGA HAPO JANA, NA KULETWA KWA MWILI WA WAZIRI CELINA KOMBANI


TAZAMA MAKABILA NA PICHA ZA KUPENDEZA ZA MAKABILI MBALI MBALI Y AKITANZANIAWA

WA MACHINGA

WA MACHINGA

UMESHAWAHI KUFIKIRI KUWA KUNA BENDERA NYINGINE ZILIZOWAHI KUONEKANA TANZANIA NA TANGANYIKA? NIMEKUWEKEA HAPA

UNAJUA KWAMBA MOURINHO HAJAWAHI KUTOKA NA POINTI 3 DHIDI YA NEWCASTLE KATIKA DIMBA LA ST. JAMES PARK TANGU MAY 2005 ? REKODI HII HAPA

NIMEKUWEKEA HAPA MATOKEO YA MECHI ZA LIGI TANO BORA DUNIANI ZILIZOCHEZA JANA NA RATIBA YA LEO