Sunday, May 22

YANGA SC YAMKUNA RAIS WA FIFA GIANNI INFANTINO


Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, ameipongeza timu ya soka Young Africans ya Dar es Salaam, kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2015/16.

PROF: MUHONGO: MIKATABA YA TANESCO NA IPTL HAINA FAIDA KWA TAIFA



Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema mikataba yote ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na kampuni za kufua umeme siyo mizuri na haina manufaa yoyote kwa Taifa.