Saturday, July 11

HII HAPA TANO BORA YA CCM HII HAPA


Taarifa ambazo zimethibitishwa kupitia mtandao wa twitter wa CCM na mwenyekiti wa chama hicho Rais Jakaya Kikwete zinasema kuwa, Kamati Kuu ya CCM imekamilisha kazi na kuwapitisha wagombea watano.




Wagombea waliopitishwa ni Bernard Membe, January Makamba, Dkt Asha Rose Migiro, Dkt John Magufuli na Balozi Amina Salum.

hii ndio ndizi Bukoba

SAWA DODOMA IMEPENDEZA, UKITAKA KUAMINI TAZAMA MATUKIO HAYA KATIKA PICHA

 Waandishi wa Habari wakiwahi kuingia ukumbini kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu Maalum cha CCM kwenye ukumbi wa Halmashauri Kuu maarufu kama White House.