Mgogoro unaoiandama CUF huenda ukailetea balaa zaidi, baada ya kuwapo kwa taarifa kuwa huenda ikafutwa kama itazidi kukomalia msimamo ilionao wa kutotaka ushauri.
Showing posts with label SIASA. Show all posts
Showing posts with label SIASA. Show all posts
Friday, October 7
Thursday, March 10
RAIS WA ZANZIBAR NA VIETNAM WAFANYA MAZUNGUMZO DAR
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akisalimiana na Rais
wa Vietnam Truong Tan Sang, jana Ikulu Jijini Dar es Salaam akipofika
kwa mazungumzo na ujumbe aliofuatana nao,Picha na Ikulu.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
na Ujumbe wake (kushoto) wakiwa katika mazungumzo na Ujumbe wa Rais wa
Vietnam Truong Tan Sang jana Ikulu Jijini Dar es Salaam akiwa nchini kwa
ziara ya Kikazi
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kushoto)akifuatana na Rais wa Vietnam Truong Tan Sang(katikati) baada
ya mazungumzo yao yaliyofanyika jana Ikulu Jijini Dar es Salaam(kulia)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Dkt. Augustin Mahiga.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kulia)akiagana na mgeni wake Rais wa Vietnam Truong Tan Sang(kushoto)
baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika jana Ikulu Jijini Dar es
Salaam(katikati) mawair mbali mbali wa Vietnum walioungana na Rais
Truong
KUBENEA AKAMATWA NA JESHI LA POLIS AJUMUISHWA KESI YA UCHAGUZI WA MEYA DAR
MBUNGE
wa Ubungo, Saed Kubenea amekamatwa na Jeshi la Polisi leo asubuhi
wakati akiwa katika Mahakama ya Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.
Kubenea amekamatwa na polisi akituhumiwa kushiriki kumpiga Terresia Mmbando, Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Mmbando
alikuwa mwenyekiti wa mkutano wa kumchagua Meya wa Jiji la Dar es
Salaam uliofanyika wiki mbili zilizopita na baadaye kuahirishwa hatua
ambayo iliibua malumbano.
Kubenea alikwenda leo mahakamani kuendelea na kesi yake inayohusu kumtukana Paul Makonda, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni.
Kesi
hiyo ilifunguliwa tarehe 15 Desemba mwaka jana baada ya wawili hao
kukutana kwenye Kiwanda cha Nguo cha TOOKU kilichopo Ubungo, jijini Dar
es Salaam.
Katika
tuhuma za kumpiga Mmbando, waliokamatwa katika hatua ya kwanza ni
Halima Mdee, Mbunge wa Kawe; Mwita Waitara, Mbunge wa Ukonga na madiwani
wawili ambao kwa sasa wapo nje kwa dhamana.
Baada ya kupata dhamana Mdee alisema “Watake wasitake wataachia, hapa ni Ukawa tu. Yote haya yana mwisho lakini wajue kuwa namba ‘zinatufeva’ na si vinginevyo.”
Uchaguzi
wa Meya wa Jiji la Dar s Salaam ndio chanzo cha kukamatwa kwa Kubenea
na wengine waliotangulia ambapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) na vyama
vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vimekuwa vikisigana.
Ukawa
wanalalamika kuminywa na Halmashauri ya Jiji kwa madai ya kushirikiana
na CCM. Ukawa wameeleza kuwa zinafanyika hujuma ili CCM ishinde Umeya wa
Jiji.
Jumla
ya wajumbe wa mkutano wa kumchagua Meya wa Jiji ni 161. Kwa upande wa
Kinondoni kuna wajumbe 58 ambapo CCM wapo 20 na ukawa 38.
Temeke jumla ya wajumbe 49, CCM wapo 31 na ukawa 18 na Ilala jumla ya wajumbe 54 huku CCM wakiwa 23 ukawa 31.
Thursday, November 19
HUYU HAPA NDIYO WAZIRI MKUU WA TANZANIA KUTOKA BUNGENI..2015....
BREAKING
NEWS: Mh. Kassim Majaliwa Mbunge wa Ruangwa amependekezwa na Rais John
Magufuli kuwa Waziri Mkuu mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Waziri Mkuu aliyependekezwa Mh. Kassim Majaliwa ni mbunge kupitia jimbo la Ruangwa na ana umri wa miaka 54.
Waziri Mkuu aliyependekezwa Mh. Kassim Majaliwa ni mbunge kupitia jimbo la Ruangwa na ana umri wa miaka 54.
Thursday, September 24
Wednesday, September 23
ALIKIBA AFUNGUKA JUU YA RAIS AJAYE ANAYEMKUBALI, MCHEKI HAPA RAIS WAKE YEYE 2015
Wakati tukishuhudia wasanii kama kalla jeremiah, jack line wolper,Roma mkatoliki na wengineo wakiwa na mwelekeo wa kumshabikia mgombea urais kupitia ukawa yaani Edward Lowassa, huku pia JB,Aunty Ezekiel, Ray, Bi mwenda na wengineo nao wakimuunga mkono mgombea urais kupitia CCM John Pombe Magufuli, sasa rasmi msanii Ali Kiba nae amejiunga rasmi na kina Ray kumpa nguvu magufuli.
Monday, July 13
Afisa usafirishaji ajitosa kuwani Udiwani kata ya Luhota jimbo la Kalenga
KATIBU wa
uchumi na fedha wa chama cha usafirishaji Mkoani Iringa, Obedi Luhwago
ameamua kujitisa kuwania udiwani katika kata ya Luhota, jimbo la Kalenga
wilayani Iringa kwa tiketi ya Chama Cha Mapnduzi (CCM).
Sunday, July 12
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI
Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt. Jakaya
Mrisho Kikwete akimpongeza Dkt. John Pombe Magufuli, mara baada ya
kutangazwa kuwa ndiye Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Dodoma
Convition Centre, Mjini Dodoma. Dkt. Magufuli ameibuka kidedea
kwa jumla ya kura 2104, wakati wapinzani wake Amina Salum Ally, akiibuka
na kura 253 na Dkt. Asha-Rose Migiro, akipata kura 59.
Saturday, July 11
HII HAPA TANO BORA YA CCM HII HAPA
Taarifa ambazo zimethibitishwa kupitia mtandao wa twitter wa CCM na
mwenyekiti wa chama hicho Rais Jakaya Kikwete zinasema kuwa, Kamati Kuu
ya CCM imekamilisha kazi na kuwapitisha wagombea watano.
Wagombea waliopitishwa ni Bernard Membe, January Makamba, Dkt Asha Rose Migiro, Dkt John Magufuli na Balozi Amina Salum.
Wagombea waliopitishwa ni Bernard Membe, January Makamba, Dkt Asha Rose Migiro, Dkt John Magufuli na Balozi Amina Salum.
Subscribe to:
Posts (Atom)