Thursday, November 17

JK AWATUNUKU DIGRII WAHITIMU 1,179 CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA ELIMU DUCE

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udsm), Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete (wa pili kulia) akimkabidhi zawadi mwanafunzi bora wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (Duce), Haji Mohamed wakati wa Mahafali ya Tisa ya chuo hicho leo. Jumla ya wanafunzi 1,179 walihitimu na kutunukiwa digrii za awali. 

SERIKALI YABARIKI UZINDUZI WA TELEVISHENI YA KIDIGITALI KUTOKA STARTIMES


Serikali kupitia Wizara ya Ujezi Uchukuzi na Mawasilano imebariki uzinduzi wa televisheni mpya ya kidigitali kutoka kampuni ya Startimes Tanzania. 

Wednesday, November 16

KIWANDA CHA KUTENGEZA VIROBA FEKI CHAKAMATWA.


Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Dkt. Hamisi Kigwangalla, akiwa ameongzana na timu ya Serikali yenye wataalamu na wanausalama wameendesha operesheni kali ya kusaka viroba feki na pombe nyingine haramu katika maeneo ya Jiji la Dar es Salaam  na kufanikiwa kukama shehena kubwa ya bidhaa hizo feki na haramu kwenye maeneo  hayo.

Monday, November 14

“SEEING THE UN DELIVERING AS ONE IN DAR ES SALAAM, DODOMA AND KIGOMA”


The Nordic countries (Sweden, Norway, Denmark, Finland and Iceland) are key donors and partners of the United Nations system globally, regionally and at country level. In order to strengthen their collaboration with the United Nations in support of the Global Goals, and strategic development priorities of the Government of Tanzania, officials representing the five Nordic countries will be in the country during 14 -18 November, 2016.

AZAM FC YASAKA NA KUANDAA VIPAJI VIPYA


TanzaniaImage copyrightGOOGLE
Image captionVijana wakipepetana kuwania nafasi ya malezi ya vipaji maalum

Vijana saba wenye umri chini ya miaka 17, wamepenya kwenye majaribio ya wazi ya mwisho katika mkoa wa Dar es Salaam, yaliyoendeshwa na Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC mwishoni mwa juma.

DONALD TRUMP AFANYA UTEUZI WA AWALI.



MarekaniImage copyrightAFP
Image captionReince Priebus alionekana na Donald Trump usiku wa siku ya uchaguzi

Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, amemteua mwenyekiti wa kamati ya taifa ya chama cha Republican, Reince Priebus, kutumika kama mkuu wa wafanyakazi.

TAIFA STARS YABAMIZWA 3-0 NA WARRIORS YA ZIMBABWE ,NYOTA WA KV OOSTENDE YA UBELGIJI AMUONESHA SAMATTA MAVITU

samata1
Mshambuliaji wa Taifa Stars, Elius Maguri akichuana na beki wa Zimbabwe, Hadebe Teenage katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika Uwanja wa Taifa wa Zimbabwe leo. Tanzania ilifungwa mabao 3-0.