Saturday, April 2

KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA KUTATHIMINI KAZI ZA KAMATI ZA BUNGE

KM1
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akiteta jambo na Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashililah kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati cha Kamati ya Uongozi ya Bunge leo tarehe 2/42016 Ofisi ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.Kamati hiyo inayojumuisha Wenyeviti wote wa Kamati za Kudumu za Bunge ilikutana ili kufanya thathmini ya shughuli za kamati za Kudumu za Bunge kabla ya Serikali kuwasilisha Mapendekezo ya Mpango na ukomo wa Bajeti ya mwaka 2016/17 wiki ijayo.
KM2
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akiongoza kikao cha Kamati cha Kamati ya Uongozi ya Bunge. Kamati hiyo inayojumuisha Wenyeviti wote wa Kamati za Kudumu za Bunge ilikutana ili kufanya thathmini ya shughuli za kamati za Kudumu za Bunge kabla ya Serikali kuwasilisha Mapendekezo ya Mpango na ukomo wa Bajeti ya mwaka 2016/17 wiki ijayo.
KM3
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akiongoza kikao cha Kamati cha Kamati ya Uongozi ya Bunge. Kamati hiyo inayojumuisha Wenyeviti wote wa Kamati za Kudumu za Bunge ilikutana ili kufanya thathmini ya shughuli za kamati za Kudumu za Bunge kabla ya Serikali kuwasilisha Mapendekezo ya Mpango na ukomo wa Bajeti ya mwaka 2016/17 wiki ijayo.
(Picha na Ofisi ya Bunge)

No comments: