Saturday, April 2

WABUNGE BARANI AFRIKA WAKUTANA NA KUJADILI JINSI YA KUPINGA BIASHARA HARAMU YA SILAHA AFRIKA

LIA1
Naibu Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiwahutubia baadhi ya Wabunge kutoka nchi mbalimbali za Afrika wakati wa Mkutano wa kujadili namna gani nchi za Afrika zinavyoweza kupinga biashara haramu ya silaha, leo Jijini Dar es Salaam
LIA2
Naibu Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiwahutubia baadhi ya Wabunge kutoka nchi mbalimbali za Afrika wakati wa Mkutano wa kujadili namna gani nchi za Afrika zinavyoweza kupinga biashara haramu ya silaha, leo Jijini Dar es Salaam.
LIA3
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Balozi Ramadhani Mwinyi akiwahutubia baadhi ya Wabunge kutoka nchi mbalimbali za Afrika wakati wa Mkutano wa kujadili namna gani nchi za Afrika zinavyoweza kupinga biashara haramu ya silaha, leo Jijini Dar es Salaam.
LIA4
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Balozi Ramadhani Mwinyi akiwahutubia baadhi ya Wabunge kutoka nchi mbalimbali za Afrika wakati wa Mkutano wa kujadili namna gani nchi za Afrika zinavyoweza kupinga biashara haramu ya silaha, leo Jijini Dar es Salaam.
LIA5
Mratibu kutoka Umoja wa Mataifa Bwana Alvaro Rodriguez akiwahutubia baadhi ya Wabunge kutoka nchi mbalimbali za Afrika wakati wa Mkutano wa kujadili namna gani nchi za Afrika zinavyoweza kupinga biashara haramu ya silaha, leo Jijini Dar es Salaam.

No comments: