Saturday, August 8

IJUE HISTORIA YA MECHI ZA UFUNGUZI WA LIGI KUU ENGLAND

Unajua kuwa Ligi kuu England msimu wa 2015/2016 inaanza leo ? na timu zote 20 zinakabiliwa na mechi 38?.
ratiba iko hivi>:
Mabingwa watetezi, Chelsea wanafungua dimba na Swansea City.
Hata hivyo mtandao wa bwin umeleta takwimu za timu za England zinazoenesha matokeo ya mechi za ufunguzi.
Historia inaonesha kwamba Chelsea ndio klabu yenye rekodi nzuri ya kufanya vyema kwenye mechi za ufunguzi.
Katika mechi 23 za ufunguzi wa EPL walizocheza, Chelsea wameshinda michezo 15, sare tano na kupoteza tatu, huku wakifunga magoli 48.
Tazama picha chini;
The Blues have won 15, drawn five and lost three of their opening day Premier League fixtures

No comments: