Tuesday, December 8

AHADI NI DENI......Duu!! mwanamitindo katimiza ahadi yake ya kuvua nguo baada ya Palmeiras kutwaa Ubingwa …


Stori za Brazil kufanya vizuri katika soka zimekuwa kawaida sana ila siku hizi hii ni mpya kutoka kwa mashabiki wao, inashangaza kidogo, tumewahi kusikia Mrisho Ngassa akiahidi kama atashindwa kufunga goli katika mechi Yanga dhidi ya Simba atachoma moto nyumba zake tano ahadi ambayo alifanikiwa kuitimiza kwa kufunga goli.
mg_4491
Cintia Vallentim
Ila kwa mashabiki wa kike wa Brazil wameingia katika headlines hii mtu wangu, wiki iliyopita mwigizaji wa Brazil Maite Proenca mwenye miaka 57 aliahidi kama timu yake ya Botafogo itashinda na kufuzu kucheza Ligi daraja la kwanza Brazil atavua nguo, December 8 ni headlines za mwanamitindo wa kibrazil Cintia Vallentim mbaye nae aliahidi ahadi kama hiyo kama timu yake ya Palmeiras itatwaa Ubingwa wa Brazil.
mg_4341
Cintia Vallentim ametimiza ahadi hiyo ya kupiga picha akiwa mtupu baada ya timu yake ya Palmeiras kuifunga Santos kwa mikwaju ya penati na kushinda Kombe la Brazil. Tukio hili linakuja ikiwa ni wiki moja imepita toka muigizaji Maite Proenca kufanya kama hivyo ila yeye ni baada ya Botafogo kushinda na kupanda daraja la kwanza.
maite_1
Maite Proenca

No comments: