Thursday, December 17

ETI NAYEE NI MUUZA UNGA....Kesi ya kukutwa na dawa za kulevya ya Nelly yafutwa...


nelly
Kesi ya kukutwa na dawa za kulevya iliyomkabili rapa Nelly imefutwa. Nelly ametoa tamko juu ya swala hili na kusema
“Namshukuru wakili wangu Scott Rosenblum na watu wa mji wa Tennessee kwa kuwa na haki juu yangu”
Nelly alikamatwa Tennessee mwezi wa nne na polisi wa usalama barabarani na kukutwa na aina ya paraphernalia,marijuana na mfuko mwingine wenye methamphetamine ambao baada ya vipimo iligundulika kuwa haikuwa dawa ya methamphetamine.
Nelly alifikishwa mahakamani na kukubali kosa la kukutwa na dawa hizo na alipewa adhabu ya kifungo cha nje cha mwaka mzima.

No comments: