Thursday, February 18

MATOKEO KIDATO CHA NNE 2015, YATANGAZWA......

Baraza la mitihani la taifa limetangaza matokeo ya kidato cha nne ambapo Watahiniwa 113,489 wamefeli mtihani wa kidato cha 4 mwaka 2015 na watahiniwa 272,947 wamefaulu.

NECTA YATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE YALIYOPANGWA KWA MFUMO WA DIVISION.
-Ufaulu umeshuka kwa asilimia 1.85 mwaka 2014 kwa mfumo wa GPA ambapo ufaulu ulikuwa ni asilimia 69.76 Mwaka 2015 ufaulu kwa mfumo wa division ni asilimia 67.91
- Wasichana wachukua nafasi tatu za mwanzo katika kumi bora.

No comments: