Tuesday, February 16

MSAADA...BONDIA MANNY PACQUIAO AKABIDHI NYUMBA KWA FAMILIA MASIKINI..


 Mwana masumbwi maarufu Duniani toka nchini Phillipines Emmanuel Dapidran Pacquiao (37) maarufu kama "Manny Pacquiao" amekabidhi nyumba kwa wananchi wa jimbo lake kwa ajlili ya makazi ya familia masikini zipatazo 1,000...

Akieleza wakati wa makabidhiano ya nyumba hizo kwa wananchi hao Pacquiao alisema, amejenga nyumba hizo kwa fedha ambazo amekuwa akizipata kutokana na malipo ya Ubunge na mchezo ya ngumi ambao unamuingizia pesa kibao.

Nyumba zenyewe ni hizo kama zinavyoonekana kwenye picha..

No comments: