Friday, July 17

TANZIA: MSANII MKUBWA WA MUZIKI WA BENDI AFARIKI DUNIA...


Mwanamuziki wa muziki wa bendi Ramadhan Masanja maarufu kama 'Banza stone' amefariki dunia nyumbani kwao hivi punde baada ya kuugua kwa muda mrefu.
R.I.P Banza Stone

No comments: