Friday, July 17

UNADHANI KUMUITA OBAMA NYANI ATAACHE HIVI HIVI? PIA HUU NI UBAGUZI WA RANGI.

Barack-Obama
Rais Barrack Obama
 
Patrick Rushing ni Meya wa Mji wa Airway Heights ambao uko Washington, jamaa alijikuta tu akimwita Obama nyani na akamwita Michelle Obama sokwe !!
 
Ukizungumzia ishu ya Ubaguzi wa rangi Marekani sio kesi ndogo, lakini Meya Rushing amesema yeye sio mbaguzi japo aliyaandika haya kwenye ukurasa wake Facebook >>>> “Huyu mwanamke Michelle mwenye uso wa sokwe hamvutii mtu yoyote labda Obama mwenye uso wa nyani.. waangalie masikio yao, LOL” >Patrick Rushing.
 
Ikainuka stori ya Halmashauri ya Jiji kumtaka ajiuzulu >>>> “Nakubali kwamba nimekosea, ila kama nikijiuzulu itaonekana kama mimi ni mbaguzi wakati sio kweli… Huo ni utani ambao huwa tunafanya na rafiki zangu kila mara” >>>> Meya Rushing.
 
patrick-rushing
Patrick Rushing
 
Gazeti moja la Marekani lilitembelea ukurasa wake wa Facebook na kukuta post zaidi ya 75 zikihusiana na ubaguzi wa rangi, Wahamiaji wanaoishi Marekani, zipo alizomponda Hillary Clinton na pia nyingine kawaponda wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja.
 
obama-basketball_2773422b

No comments: