Friday, July 17

UNADHANI BONGO KUNA PRO ANAWEZA KUPOKELEWA NAMNA HII KAMA MAPOKEZI YA DEPAY

Nyota wa Manchester United Memphis Depay akiwasainia mashabiki wa timu hiyo vitu mbalimbali  ikiwemo mipira na jezi wakati wa ziara yao nchini Canada katika maandalizi ya msimu mpya wa ligi.
17 Jul 2015

No comments: