Friday, November 20

Akon+Mshindi wa Airtel Trace...Mayunga Kawasili Universal Studios Marekani tayari kurekodi wimbo na Akon...


Mayungaa Narimi ambaye ni mshindi wa shindano kubwa la vipaji la Airtel Trace Music Staramefika kwa mara ya kwanza kwenye Ofici za lebel kubwa ya muziki ya Universal Studios mjini HollyWood nchini Marekani.
Hizi ni baadhi ya picha alizotuonyesha Mayunga na ujumbe huu
There we are 😉💃💃💃💃 for the first time in UNIVERSAL STUDIOS. …. HOLLYWOOD oow 🙏 thank you ALLAH,thanks @Airtel Trace music star, thanks beautiful people……( you know what! Dont let anyone stop yo dreams because i had a dream that one day i would love to be in UNIVERSAL STUDIOS. ..HOLLYWOOD oow can’t even explain it more because it’s more than happiness , what i can say is just join me on this trip so that we can share somethings i love u guys☺. (Kwa mara ya kwanza ndani ya UNIVERSAL STUDIOS… HOLLYWOOD OOW asante sana mungu sante sana @Airtel Trace music star pia asante sans watu wangu wa zuri.Unajuwa nini usiache mtu yeyote akusimamishie ndoto zako kwa sababu nilikuwa na ndoto kwamba sikumoja ningependa kuwa UNIVERSAL STUDIOS. .HOLLYWOOD OOW siwezi hata kuelezea sana kwani ni zaidi ya furaha, ninachoweza sema ni kwamba ungana nami katika hii safari ili tu weze ku shea baadhi ya vitu nawapenda sana sante.😊.
mayunga 2
mayunga 2 (2)

No comments: