Wednesday, November 18

SIKIA KAULI YA NAHODHA HUYU...ZLATAN KIBURI, JEURI! ATANGAZA KULISTAAFISHA SOKA TAIFA LOTE LA DENMARK......


Nahodha wa Sweden, Zlatan Ibrahimovich amefunga moja kati ya mabao mawili yaliyoiwezesha Sweden kusonga mbele katika kuwania kucheza Kombe la Dunia baada ya kuing'oa Denmark.

Awali, Denmark walitamba kumstaafisha soka Zlatan, lakini baada ya sare ya 2-2, Sweden imesonga kwa jumla ya mabao 4-3 na Zlatan amesema: "Sasa taifa lao lote, nimelistaafisha soka."

Denmark na Sweden ni majirani ambao wana ushindani wa hali ya juu.

Denmark (4-2-3-1): Schmeichel 6.5; Jocobsen 6, Kjaer 5, Agger 6, Durmisi 5.5 (Vestergaard 83); Hojbjerg 6, Delaney 6.5 (Krohn-Dehli 45, 6); Poulsen 6.5, Eriksen 6, Jorgensen 6; Bendtner 5
Subs not used: Andersen, Wass, Kvist Jorgensen, Braithwaite, Christensen, Falk Jensen, Simon Poulsen, Jakob Poulsen, Rasmussen, Lossl.
Booked: Durmisi, Poulsen, Hojbjerg 
Sweden (4-4-2): Isaksson 6.5; Lustig 6.5, Johansson 6, Granqvist 5.5, Bengtsson 5 (Olsson 86); Larsson 6.5 (Hiljemark 81), Lewicki 6.5, Kallstrom 6 (Svensson 69), Forsberg 6; Berg 6, Ibrahimovic 8.5
Subs not used: Olsen, Helander, Guidetti, Kujovic, Milosevic, Toivonen, Durmaz, Zengin, Carlgren.
Booked: Bengtsson, Larsson 
Referee: Martin Atkinson (England) 6.5







No comments: