Wednesday, November 18

ETI LAZIMA WAONDOKE...BOMOA BOMOA MWENGE JIJINI DAR ES SALAAM LEO.......

Tingatinga likiendelea na kazi ya kubomoa nyumba na vibanda vya biashara vilivyojengwa isivyo halali katika maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam leo huku baadhi ya wananchi wakijaribu kunusuru baadhi ya mali.
Wananchi wakijaribu kuokoa mali zao baada ya maduka na nyumba kadhaa zilizojengwa isivyohalali kuvunjwa katika maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam

No comments: