Saturday, September 19
Friday, September 18
MWAMERIKA ALIYEENDA KUTOA MSAADA KWA WAHANGA WA TETEMEKO ASIKITISHA WATU KWA KILICHOMKUTA!! FUATILIA KISA KIZIMA HAPA {VIDEO}
Dahlia Yehia alikuwa
ni msichana mwenye furaha, amani na moyo wa kuwasaidia watu wenye shida
lakini ndoto zake zilifupishwa baada ya safari yake ya kwenda Nepal kwenda vibaya!
NIMEONA NIKULETEE MIJENGO YA HOTEL ZA AJABU ZINAZOPATIKANA HUMU DUNIANI........
WIZARA YA AFYA YAMTAKA MKEMIA MKUU ATAFUATILIA MATUMIZI YA SIGARA YA KIKO YA MAJI (SHISHA)
USHAWAHI KUSIKIA NDOA YA FASTA FASTA? SASA HII IMEFUNGIWA BEACH MBELE YA WATU NANE......SOMA NA TAZAMA PICHA HAPA
Ronke na Lawson wamependana?
Love yao hawakutaka masuala ya kusumbuana na ndugu masuala ya michango,
vikao vya Harusi, kujaza watu Ukumbini.. wao kila kitu kimefanywa
simple tu yani.
SERIKALI YAUJIBU UKAWA KUHUSU SAFARI YA RAIS NA GHARAMA,YADAI KUTOTUMIA HATA NUSU YA KIWANGO WALICHOKITAJA WAPINZANI
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Safari za Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete Nje ya Nchi.
Wizara imesikitishwa na taarifa za uongo zilitolewa katika vyombo vya habari kuwa Mhe. Jakaya Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uongozi wake wa miaka 10 ametumia Shilingi trilioni 4 kwa ajili ya safari za kikazi nje ya nchi, ambazo ni wastani wa bajeti nzima ya wizara kwa miaka mitano (5).
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inapenda kutoa ufafanuzi kuwa tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete aingie madarakani mwaka 2005, kiasi kikubwa kabisa cha bajeti kuwahi kutengwa kwa ajili ya safari za Viongozi Wakuu yaani Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu ni shilingi bilioni 50 ambazo zilitengwa kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015 kwa ajili ya Idara ya Itifaki.
Kwa miaka mingine yote wastani umekuwa ni kati ya shilingi bilioni tano hadi 25 kulingana na mahitaji ya idara hiyo.
Ifahamike kuwa kiasi hicho cha shilingi bilioni 50 ni bajeti nzima ya Idara ya Itifaki, ambapo kuna fungu maalum kwa ajili ya ziara za viongozi. Fungu hilo linagharamia makundi makuu matano kama ifuatavyo:
1. Kundi la Rais wakiwemo Wasaidizi, Mawaziri au Wakuu wa Taasisi na Walinzi;
2. Kundi la Makamu wa Rais wakiwemo Wasaidizi, Mawaziri au Wakuu wa Taasisi na Walinzi;
3. Kundi la Waziri Mkuu wakiwemo Wasaidizi, Mawaziri au Wakuu wa Taasisi na Walinzi;
4. Kundi la Wakuu wa Nchi na Serikali kutoka nje ya nchi wanapotembelea Tanzania; na
5. Kundi la Wajumbe Maalum wanaokuja nchini kuleta taarifa muhimu kwa Rais.
Makundi yote haya hugaramiwa na Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje ndani ya bajeti ya Idara ya Itifaki kifungu cha Ziara za Viongozi.
Aidha uandaaji wa bajeti ya Wizara chini ya Idara ya Sera na Mipango unahusisha wadau wengine nje ya Wizara kama vile Kamati ya Bunge ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na hupitishwa kila mwaka na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tunapenda kuwaatahadharisha wananchi juu ya watu wanaotoa taarifa za uongo kwa madhumuni ya kujenga chuki dhidi ya Serikali. Ikumbukwe kuwa ziara za viongozi zinazoratibiwa na Wizara ya Mambo ya Nje zina mafanikio makubwa kwa nchi na Watanzania kwa ujumla.
Wizara inaandaa taarifa ya ndefu ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara, changamoto na mafanikio yaliyopatikana ndani ya kipindi cha miaka kumi ya uongozi wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete ambayo itatolewa kwa umma kwa lengo la kutoa elimu zaidi.
Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali kwa Umma,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,
17 Septemba 2015
Queen Darleen: Muziki Umenikosanisha Na Boyfriends Zangu
Monday, August 17
Saturday, August 8
IJUE HISTORIA YA MECHI ZA UFUNGUZI WA LIGI KUU ENGLAND
Wednesday, July 29
WATOTO ZAIDI YA LAKI NANE WA WAWA WAKIMBIZI KUTOKANA NA BOKO HARAM
Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa(Unicef) umeeleza wasiwasi wake kuhusu kuendelea hujuma za kundi la Boko Haram zilizosababisha mamia ya maelfu ya watoto nchini Nigeria kuwa wakimbizi.
Monday, July 20
Saturday, July 18
Friday, July 17
AJALI YA KILIMANJARO ILIKUWA HIVI,TAZAMA KATIKA PICHA JINSI WATU WANNE WALIVYOPOTEZA MAISHA
Afungwa miaka 8 kwa kumuoza bintiye
Raia mmoja wa Australia ambaye
alipanga ndoa ya kiislamu li kumuoza bintiye mdogo mwenye umri wa miaka
12 amehukumiwa miaka minane jela.
Alipatikana na hatia mwezi Aprili kwa kumnadi mtoto kuhusika katika vitendo vya ngono kinyume na sheria.
Mapema mwaka huu mume huyo alihukumiwa kifungo cha miaka saba na nusu kwa kumnyanyasa kijinsia mtoto huyo.
Msichana huyo mdogo analindwa na serikali.
Thursday, July 16
MTANZANIA WA KWANZA KUPANDA MLIMA EVEREST
MTANZANIA
KWENYE KILELE CHA EVEREST
Ni Wilfred Moshi.
Amekuwa Mtanzania wa kwanza kufika kilele cha mlima mrefu kuliko yote duniani.
Steinmeier ziarani Cuba
Waziri wa Mambo ya Nje ya Ujerumani Frank-Walter Steinmeier leo hii anatarajiwa kuanza ziara yake ya siku mbili nchini Cuba.
Steinmeir atakuwa waziri wa kwanza wa mambo ya nje wa Ujerumani kufanya
ziara nchini humo tangu kuungana tena kwa Ujerumani miaka 25 iliyopita
Sudi Mnette anaarifu zaidi.
Wednesday, July 15
SANCHES KUWAKOSA CHELSEA NGAO YA JAMII.
Alexis Sanchez anaweza kukosa mechi ya kwanza ya msimu katika kikosi cha Arsenal.
Monday, July 13
TAARIFA ZA KUSIKITISHA KITUO CHA POLISI STAKISHARI KIMEVAMIWA NA MAJAMBAZI NA KUUA POLISI NAKUPORA BUNDUKI AINA YA SMS USIKU WA KUAMKIA LEO.
WATU KADHAA WAUWAWA, SILAHA ZAPORWA BAADA YA MAJAMBAZI KUVAMIA KITUO KIDOGO CHA POLISI CHA SITAKISHARI, JIJINI DAR ES SALAAM
ROONEY, BALE?,ANGALIA ORODHA YA WACHEZAJI WA KIINGEREZA WALIOWAHI KUSAJILIWA KWA GHARAMA KUBWA ZAIDI
Ofa
iliyokubaliwa ya Manchester City kumsajili kiungo Raheem Sterling
kutoka klabu ya Liverpool imeweka rekodi mpya katika orodha ya wachezaji
ghali zaidi wenye asili ya taifa la Uingereza.AUSILIO AKANUSHA TAARIFA ZA INTER KUMWANIA IBRAHIMOVIC

Mkurugenzi
wa michezo wa Inter Milan Piero Ausilio, amethibitisha klabu yake kuwa
na mpngo wa kuwasajili Mohamed Salah, Stevan Jovetic na Ivan Perisic -
huku akikanusha taarifa zinazowahusisha kumuwania mchezaji wao zamani
Zlatan Ibrahimovic na kusema kuwa kwa sasa mchezaji huyo haendani na
mipango ya klabu yao.
MAMA WA CASILLAS AAMUA YAISHE NA PORTO

Mama wa Iker Casillas ameamua kuomba radhi kwa kauli yake ya kwamba mwanaye anapaswa kuchezea timu bora zaidi ya Porto.
Afisa usafirishaji ajitosa kuwani Udiwani kata ya Luhota jimbo la Kalenga
KATIBU wa
uchumi na fedha wa chama cha usafirishaji Mkoani Iringa, Obedi Luhwago
ameamua kujitisa kuwania udiwani katika kata ya Luhota, jimbo la Kalenga
wilayani Iringa kwa tiketi ya Chama Cha Mapnduzi (CCM).
KENYA ,SOMALIA KWAFUKUTA UPYA,KESI YA MIPAKA KUFUNGULIWA NA SOMALIA
| Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamoud |
Serikali ya Somalia leo hii
itafungua rasmi kesi dhidi ya kenya katika Mahakama ya kimataifa (ICJ)
kufuatia mgogoro wa mpaka baina ya nchi hizo mbili.
I.R.P MZEE OJWANG
Muigizaji maarufu wa kipindi cha runinga cha "Vitimbi"Benson Wanjau aka "Mzee Ojwang"
ameaga dunia.
Mzee Ojwang ameaga dunia muda mchache uliopita katika hospitali ya kitaifa ya Kenyatta mjini Nairobi Kenya.
STERLING RASMI NI MANCHESTER CITY
Sunday, July 12
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI
Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt. Jakaya
Mrisho Kikwete akimpongeza Dkt. John Pombe Magufuli, mara baada ya
kutangazwa kuwa ndiye Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Dodoma
Convition Centre, Mjini Dodoma. Dkt. Magufuli ameibuka kidedea
kwa jumla ya kura 2104, wakati wapinzani wake Amina Salum Ally, akiibuka
na kura 253 na Dkt. Asha-Rose Migiro, akipata kura 59.
Subscribe to:
Posts (Atom)




















